Tuesday, September 28, 2010
WAZANZIBARI, KWANI HAYA YANAMILIKIWA NA NANI? MBONA HAYAKUMBUKWI AU HAYANA MWENYEWE NINI?
Sunday, September 5, 2010
UNA BISHA?
Tunafahamu mbwa hana kawaida ya kuingia baa lakini kwa kizazi cha now mbwa baa wataingia tu hali ndio inaanza, Jiulize mara ngapi umeshakaa baa pembeni akatokea nyau aka paka Je wakianza nao tabia hii Bia zetu zitapona kweli?
Friday, August 27, 2010
Monday, May 3, 2010
HII NDIO TIMU YA NYUMBANI KWANZA

Hawa machizi nimewafuma kwa mara ya kwanza ndio wanajaribu kuzichek T-Shirt zao zenye nembo ya nyumbani kwanza.
Wajua nini Nyumbani Kwanza ni project iliyoanzishwa na Vichwa Vitatu Toka Coconut Fm kama unvyowaona hapo toka kushoto ni mtu mzima Dj Dr B, Yoram aka Show 5,show gwara pamoja na D the free argent(Hussein Hamis)
Monday, April 19, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)