HAPA PANAITWA MAGOMENI SOKO LA SAMAKI

Tindi ndi ndi ndiiiiiii.......Picha linaanza

Hili ndio soko la samaki la magomeni

Kina mama wakiweka vizuri mizigo yao ya kuni za magamba ya mnazi tayari kwa kujitwika

Haya ni mambo ya kawaida uswazi
Kitu chaulizaWakati mwingine unawza kusema kwa mtanzania kuishi maisha haya ni kawaida lakini kwa upande mwingine Serikali haina buni kuwageukia watu kama hawa na kuwapatia msaada
Is this life????
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako/ Leave your comments