Thursday, May 19, 2011

SERENGETI DANSI LA FIESTA NA SERENGETI FREE STYLE YAIBUKA ZENJI

Maandalizi ya Serengeti Dansi la viesta na Free style ndani ya ukumbi wa Ngome Kongwe yanaendelea
Timu ya Dansi la fiesta kutoka Clouds Fm ikiongozwa na B 12 wakiwa Ngome Kongwe kwa kukamilisha baadhi ya banaz za dansi la fiesta

Mashabiki waliokuja kushuhudia Serengeti Dansi la Fiesta
Mashabiki


Mmoja wa majaji wa Dansi la Fiesta toka THT
Jaji

Baby J mwana dada toka znz nae alikuwa mmoja wa majaji wa Dansi la Fiesta
Kiongozi wa timu ya Dansi la Fiesta B 12 akiwa ni mmoja wa majaji akizunguma machache juu ya dansers hao
Babuu toka Clouds Fm akiongoza mchakato mzima stejini
Kikundi cha majaji kikichakachua
UB 40 moja kikundi kilichoshiriki katika

Monday, April 25, 2011

MTAANI KUNA MAMBO

Bora aweke vidabwada
Huyu nae ameotewa akiwa amezima baada ya gambe kukolea ni mmoja wa mastaa wa zenji jina linahifadhiwa

Kitu chali sababu ya kinywaji kilichopewa juna la muasisi

Huyu nae sijui hamu ????

Monday, March 7, 2011

HABARI NDIO HIYO

tuku tuku za ulaya
Hii ni new staili ya kusikiliza radio kwa kutumia betri ya gari kuepuka gharama
choo saaafiiiiiii

MWENZANGU MTANI KUNA MAKUBWA.............

Huwezi kusikia maumivu kwa muda huu.....
Sio ishu now dayz kwa jinsia moja ku du like this
KAMA PUTO HIVI......