LEO KITAA
B the first
Thursday, May 19, 2011
SERENGETI DANSI LA FIESTA NA SERENGETI FREE STYLE YAIBUKA ZENJI
Maandalizi ya Serengeti Dansi la viesta na Free style ndani ya ukumbi wa Ngome Kongwe yanaendelea
Timu ya Dansi la fiesta kutoka Clouds Fm ikiongozwa na B 12 wakiwa Ngome Kongwe kwa kukamilisha baadhi ya banaz za dansi la fiesta
Mashabiki waliokuja kushuhudia Serengeti Dansi la Fiesta
Mashabiki
Mmoja wa majaji wa Dansi la Fiesta toka THT
Jaji
Baby J mwana dada toka znz nae alikuwa mmoja wa majaji wa Dansi la Fiesta
Kiongozi wa timu ya Dansi la Fiesta B 12 akiwa ni mmoja wa majaji akizunguma machache juu ya dansers hao
Babuu toka Clouds Fm akiongoza mchakato mzima stejini
Kikundi cha majaji kikichakachua
UB 40 moja kikundi kilichoshiriki katika
Monday, April 25, 2011
MTAANI KUNA MAMBO
Bora aweke vidabwada
Huyu nae ameotewa akiwa amezima baada ya gambe kukolea ni mmoja wa mastaa wa zenji jina linahifadhiwa
Kitu chali sababu ya kinywaji kilichopewa juna la muasisi
Huyu nae sijui hamu ????
Monday, March 7, 2011
HABARI NDIO HIYO
tuku tuku za ulaya
Hii ni new staili ya kusikiliza radio kwa kutumia betri ya gari kuepuka gharama
choo saaafiiiiiii
MWENZANGU MTANI KUNA MAKUBWA.............
Huwezi kusikia maumivu kwa muda huu.....
Sio ishu now dayz kwa jinsia moja ku du like this
KAMA PUTO HIVI......
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)