Saturday, October 11, 2014

Nocoz ft BouNako-Ka​ma Unaweza (NOIZ)

Kundi la Nocoz linaloundwa na wasanii "S Wa Maves pamoja na D Nocoz" wakiwa wamemshirikisha BouNako wameingiza ngoma mpya kitaani iitwayo "Kama Unaweza"

Tuesday, October 7, 2014

Monday, October 6, 2014

Mashaalaa Eid ilikuwa sawa like that kwa baadhi ya Watanzania waishio nchini South Africa






Baadhi ya Watanzania waishio nchini South Africa wajumuika pamoja kusherehekea sikukuu ya Eid.

Saturday, October 4, 2014

Brand new track Ras Mego - Kata (NOIZ)

Msanii Ras Mego aachia ngoma yake iitwayo "KATA" iliyotengenezwa Noizmekah Studios Arusha