Friday, August 15, 2014

Nakaaya aingia katika KUFOKA sasa

Mdada anaitwa Nakaaya Sumari,kwa mara ya kwanza utamsikia aki-RAP Katika Mamong'oo remix ya Jambo Squad itakayopatikana rasmi Jumatatu Tarehe 18 Agosti HAPA https://mkito.com/artist-profile/jambo-squad/330 PEKEE... Ukihitaji wimbo usio na matangazo mwanzoni,bofya kitufe cha NUNUA badala ya BURE wakati wa kupakua,na upate wimbo halisi usio na matangazo

BOB JUNIOR & ROMA - MAUMIVU



Nick wa Pili na Mamong'oo Remix

Anaitwa Nikki wa Pili aka Nick Mweusi,mwingine kati ya wasanii waliowakilisha ndani ya Mamong'oo remix ya Jambo Squad itakayopatikana rasmi Jumatatu Tarehe 18 Agosti HAPA https://mkito.com/artist-profile/jambo-squad/330 PEKEE... Ukihitaji wimbo usio na matangazo mwanzoni,bofya kitufe cha NUNUA badala ya BURE wakati wa kupakua,na upate wimbo halisi usio na matangazo kabisa kwa 250/=Tsh TU follow @nikkwapili