Monday, April 25, 2011

MTAANI KUNA MAMBO

Bora aweke vidabwada
Huyu nae ameotewa akiwa amezima baada ya gambe kukolea ni mmoja wa mastaa wa zenji jina linahifadhiwa

Kitu chali sababu ya kinywaji kilichopewa juna la muasisi

Huyu nae sijui hamu ????

Monday, March 7, 2011

HABARI NDIO HIYO

tuku tuku za ulaya
Hii ni new staili ya kusikiliza radio kwa kutumia betri ya gari kuepuka gharama
choo saaafiiiiiii

MWENZANGU MTANI KUNA MAKUBWA.............

Huwezi kusikia maumivu kwa muda huu.....
Sio ishu now dayz kwa jinsia moja ku du like this
KAMA PUTO HIVI......

Wednesday, January 12, 2011

MAGOMENI AKA MIGO MIGO YA ZENJI

HAPA PANAITWA MAGOMENI SOKO LA SAMAKI
Tindi ndi ndi ndiiiiiii.......Picha linaanza
Hili ndio soko la samaki la magomeni
Kina mama wakiweka vizuri mizigo yao ya kuni za magamba ya mnazi tayari kwa kujitwika
Haya ni mambo ya kawaida uswazi
Kitu chauliza
Wakati mwingine unawza kusema kwa mtanzania kuishi maisha haya ni kawaida lakini kwa upande mwingine Serikali haina buni kuwageukia watu kama hawa na kuwapatia msaada

Is this life????