Monday, August 26, 2013

FidoVato-Biz Za Machiz (Official Video & Audio Link)



FidoVato toka Vatoloco the red anadrop full package ya "Biz Za Machiz" ikiwa ni Audio & Video project ilorekodiwa Noizmekah Studio na video pia kufanywa Noizmekah-Hoodpixx VMG chini ya Defxtro, Pata kudownload ngoma HAPA Video link Hii ni Hardcore Hiphop Material for all the real Hiphop Fans in the world, Kwa mawasiliano/Mahojiano zaidi check na FidoVato kupitia www.vmgafrica.com
Biz Za Machiz AUDIO-
Biz Za Machiz VIDEO-

Sunday, August 25, 2013

Mambo ya kidhungu hayo

Cheki mapokezi ya Diamond yalivyopokelewa mjini mpanda


Hakika kwa lililotokea mkoani mpanda basi si
la kusahau kila rahisi,kwa historia kufutika
kichwani mwangu
na milele moyoni Mwangu.
Siku ya Jana wakati nimetokea jijini Tabora
kwenye Fiesta 2013
baada ya kibarua ,hapa tena nakuja
Mpanda nikiwa na crew yangu nzima.
Majira ya saa 7 tulikuwa tumewasili uwanja
wa ndege
wa Binafsi Mkoani humu lakini baada
ya Kuwasili na kutokeza tu nje,ghafla hali
ya hewa
ilibadilika kuwa ya Furaha na watu
kujazana
kwenye uzio wa uwanja wa ndege mdogo endelea hapa

Saturday, August 24, 2013

Mazishi ya Nasra Hamis Rajabu yalivyokuwa







Umati wa watu walijitokeza jana katika maziko ya mjomba wa Dj Dk B yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kwaminchi mjini Tanga.
Nasra Hamis alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua pamoja na malaria alilazazwa hospitali ya bombo kwa muda wa wiki moja hadi umauti ulipo mfika.
Mungu amlaze mahala pema peponi amina.