Wednesday, February 24, 2016
Wimbo wa Edu Boy "Dumange" toka Classic sound waingia kitaani kwa kasi.
Msanii wa bongo fleva Edu Boy ameachia wimbo mpya aliomshirikisha Mr T "Dumange" msanii huyo ambae alikuwa namba moja katika mashindano ya serengeti fiesta mwaka 2012 na kuachia hit song kadhaa kama "Pata pesa tujue tabia yako" ambayo amemshirikisha Belle 9.Edo ambae anaiwakilisha Rock City Mwanza ameachia wimbo huu tofauti na miondoko yake ya hip hop ambayo amezoeleka ambayo imetengenezwa na producer Mr T Free Nation studio.
Wednesday, February 17, 2016
Sijapenda mimba ya Wema iharibike...Nay wa mitego
Mwana hip hop Nay wa mitego amesema hakupenda ujauzito wa Wema Sepetu uharibike kama baadhi ya mashabiki wa Wema wanavyodai.
Wiki chache zilizopita mkali huyo wa hip hop aliachia wimbo wa "Shika adabu yako" ambao ndani yake amemchana Wema "una mimba kweli au ndio kiki za msimu, miezi tisa sio mingi isje ikakugharimu" kauli ambayo imetafsiriwa kwa namna mbalimbali.
Kupitia kipindi cha Ubaoni ..Efm jana Nay alisema hawezi kumuombea Wema mabaya kwa yeye anapenda sana watoto.
"Sijapenda ujauzito wa Wema uharibike kwani napenda sana watoto nampa pole sana dada yangu kama ilikuwa mimba kweli kama ilikuwa kiki basi imefika mwisho nilichoimba kwenye wimbo wangu ilikuwa ni swali tu una mimba kweli au drama?" Nay aliongea.
Wiki chache zilizopita mkali huyo wa hip hop aliachia wimbo wa "Shika adabu yako" ambao ndani yake amemchana Wema "una mimba kweli au ndio kiki za msimu, miezi tisa sio mingi isje ikakugharimu" kauli ambayo imetafsiriwa kwa namna mbalimbali.
Kupitia kipindi cha Ubaoni ..Efm jana Nay alisema hawezi kumuombea Wema mabaya kwa yeye anapenda sana watoto.
"Sijapenda ujauzito wa Wema uharibike kwani napenda sana watoto nampa pole sana dada yangu kama ilikuwa mimba kweli kama ilikuwa kiki basi imefika mwisho nilichoimba kwenye wimbo wangu ilikuwa ni swali tu una mimba kweli au drama?" Nay aliongea.
JamboSquad......DigiDigi kutoka Noiz
Bofya HAPA dowload https://mkito.com/song/digi- digi/18840 #DigiDigi by Manjeree Machalii ya Ara #JamBoSquad @chaliijambo @odiijambo Produced by @defxtro @noizmekah huku tukisubiri Official Video Directed by #EmpireStatemedia @Director_Nezar Wiki Ijayo kwa Mahojiano/mawasiliano zaidi check na @jambosquad kwa nambari au 0653 610 249 au 0762 164 241 Powered by @vmgafrica @defxtro @j4cinyo @djhaazu @fredy_temu follow #vmgafrica #SupportUrOwn #LoveAfricanMusic
Subscribe to:
Posts (Atom)



