Wednesday, September 30, 2015

Nu Single SMILE FT. BOB JUNIOR-Naona Raha

Muradaiz yaachia ngoma mpya toka Mazuu Rec

Kundi jipya la music wa kizazi kipya toka kisiwani Zanzibar Muradaiz limeachia nyimbo yao ya pili ikiwa imefanyika studio ya mazuu records chini ya usimamizi wa producer Mazuu & Boy David, ngoma iko vizuri sn na tayari imeanza kusikika katika vituo mbalimbali vya Radio hapa nchini kwa sapoti zaidi ya muziki wa nyumbani usikose kuusaka wimbo huo.