Friday, November 27, 2015

Wednesday, November 25, 2015

Amini aachia ngoma mpya

Amini msanii ambaye anafanya vizuri katika anga ya muziki wa kizazi kipya ambaye pia anaongoza katika wasanii wanaofanya vizuri anaposhirikishwa na msanii mwingine ameachia ngoma yake mpya inayoitwa 'FURAHA'

Wimbo huo ambao umetayarishwa katika ubora wa hali ya juu umefanyika chini ya mtayarishaji C9 ameuachia rasmi katika raduio pamoja na mitandao ya kijamii.

Monday, November 23, 2015

UTAMBULISHO WA MSANII FEMI ONE KUTOKA KENYA NA NYIMBO YA "WANJIKU KIMANI"

Msanii kutoka nchini Kenya chini ya uongozi wa Kaka Empire, anyeimba katika miondoko ya rap maarufu kama 'Femione' (pichani juu) anakuja na kibao chake kipya kinachojulikana kama 'Wanjiku Kimani' ambacho amekitambulisha hivi karibuni huko nchini Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Kibao hicho cha wanjiku kimani kinafanya vizuri sana pande za Nairobi na Kwenye mitandao kiujumla kwa kusikilizwa watu wengi sana.

HISTORIA FUPI YA MSANII FEMI ONE:

Femione alizaliwa Wanjiku Kimani huko nchini Kenya. Ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia ya kati ya watoto watatu. Yupo katika tasnia ya muziki kwa kipindi kirefu na hakuchagua rap bali rap ndio iliyomchagua.

SAFARI YAKE YA KIMUZIKI;

Femione alianza kurap akiwa na umri wa miaka 15. Alianza kufahamika alipojiunga na kundi lijulikanalo kama Young Star ikiwa na maana ya "Nyota Wadogo", waliofundishwa namna ya kurap na kundi maarufu la marappa wa Kikenya liitwalo Wenyeji. Baada ya mafunzo hayo walihitimu na kufanikiwa kuunda kundi la watu watatu wote wakiwa wasichana. Kundi hilo liliundwa na Samantha, Mary and Femione kuanza kurap. Watatu hao walibahatika kutumbuiza katika matamasha kadhaa kama "WAPI" lakini watu walionyesha kuto tosheka nao baada ya show hiyo kuisha.
Wakati wa utumbuizaji wa tamasha la "WAPI" waandaaji wa tamasha hilo kutoka Afrika ya Kusini waliwaomba kuwa nao pamoja tena ili kwenda kutumbuiza katika tamasha kubwa huko Afrika Kusini lijulikanalo kama Fire on the Mountain kwa kipindi kile. Baada ya show hiyo ya Afrika Kusini Femione aliona kuwa anafursa nyingi kwa muziki anaoufanya.
Mara tu baada ya shoo nchini Afrika Kusini kundi la watatu hao lilivunjika kutokana kurudi tena masomoni. Mary alijotoa lakini Femione na Samantha walibaki pamoja mpaka ilipofikia wakati Samantha kuamua kufanya shughuli nyingine na kuachana na muziki.
Ijapokua Femione aliendelea kutumbuiza katika tamasha la WAPI ambapo King Kaka alipomuona, King Kaka alimuomba Femione kumshirikisha katika remix ya nyimbo yake ya "Ligi Soo" na baadae kufanikiwa kuwa remix nzuri kuliko zote nchini Kenya. Kipaji chake hapo ndio kikawa mwanzo wa kuzaa matunda na kufanikiwa kuingia mkataba na Lebo ya Kaka Empire na hata kuendelea kuwa maarufu zaidi.

NYIMBO ALIZOTAMBULISHA;

-Wanjiku Kimani - Femione (Nyimbo mpya ameitambulisha Septemba)
-Good times - Femione and Samantha,
-Maumbile - Femione ft Ms Kerry,
-Ligi Soo remix akishirikiana na wasanii wengine,
-Karata - Femione ft. DJ Jr Kaka Empire.

VIDEO RELEASED; https://www.youtube.com/watch?v=Zq6ZCBdblUg
MAWASILIANO:

-Email: angiroakumu@gmail.com,
-Facebook: Shikow Femione,
-Twitter: femi_one,
-INSTAGRAM: femi_one,
-Web: www.kakaempire.com

Sunday, November 15, 2015

Euro Man ft Ruff G-True Love (NOIZ)

Bofya HAPA https://mkito.com/song/true-love-ft-ruff-g/17306 kupakua wimbo wa Euroman ft Ruff G Katika ngoma kwa Jina "True Love" ikiwa ni Reggae Category toka @noizmekah kwa @defxtro.

Ruff G - Tucheze Wote (NOIZ)

@jambosquad Presents #RuffG: Bofya HAPA https://mkito.com/song/tucheze-wote/17298 kupakua wimbo wa @ruffgmusic kwa jina #TuchezeWote Produced by @defxtro @noizmekah

NEW SONG FROM PETER MSECHU "MALAVA"



PETER MSECHU

Peter Msechu was born in 1988 in Kigoma region, in the northern part of Tanzania close to the border with Burundi. He started singing aged ten when his father took him to join Kigoma Lutheran Church Choir, where at the time his father was the choir teacher.
Peter’s mother meanwhile was a teacher at Katubuka Primary School. She wanted her son to study hard while his father wanted him to be a musician.
In 2009 Peter Msechu’s talents came under the national spotlight in Bongo Star Search (BSS), a weekly TV talent competition. He faced many challenges as his experience was limited to choir singing whilst fellow contestants were singing a range of popular music styles.
After delivering his own first composition, feedback from the judges (Madam Rita, Salama Jabir, P Funk and Master J) helped Msechu to find a new confidence.  He changed tactics, started reinterpreting old hits with energetic performances. He quickly developed a wide fan base of young Tanzanians, eagerly tuning in to BSS every week to see what Msechu would deliver next.
Finally Msechu came in at number two. His dream had been to front a band, and said to himself “now is the time”. Within months he had released two major hits, “Hasira Hasara” and “Relax” (collaborating with Kenya-based Burundian musician Kidumu).
After becoming popular all over Tanzania by 2010, he joined Tusker Project Fame; similar to Bongo Star Search but this time including contestants from all over East Africa. Peter Msechu soon accumulated more fans throughout East Africa.
A year after Msechu joined Tusker Allstars competion where by those winners who won on the previous tusker project fame seasons where grouped together and compete again in celebrating five years of tusker project fame.. in this competition  Msechu became a winner among three winner who crowned on grand finale.
For these competition, Msechu chose classics by legendary African musicians including Oliver Mtukudzi, the late Marijani Rajab and Mbaraka Mwinshehe, and mixed these with new beats. Ultimately he came in again at number two, with an even greater confidence and resolve to pursue his career in music.
During the past year Msechu has performed all over East Africa and more recently in USA.

D-Hood-Moyo (NOIZ)

Bofya HAPA https://mkito.com/song/moyo/17165 kupakua wimbo wa D-Hood kwa jina "MOYO" ikiwa ni BongoFleva Category.

NEW AUDIO NILLAH - YUMBA YUMBA


OFFICIAL RELEASE(NEW SONG) - CHRIS BEE ft PETRONIA - BASHEE

Anaitwa CHRIS BEE hitmaker WalaWala kutoka Nchini Tanzania, ameachia wimbo wake wa Tano unaoitwa BASHEE aliomshirikisha PETRONIA.

Chris ameshatoa ngoma kadhaa kama WalaWala, Coconut, Urudi na Walawala remix, ambazo zimemtambulisha vema katika soko la muziki hapa nchini.
download ngoma hiyo kupitia https://www.hulkshare.com/12n1xx3ttq9i

Wednesday, November 11, 2015

Brand new song Jan B - My Life

Kupata ngoma hii Downolad hapa 

Tuesday, November 10, 2015

BASHEE FROM CHRIS BEE feat PETRONIA

CHRIS BEE hitmaker WalaWala from Tanzania, the guy that gave us hits like Coconut and Urudi is back again with another monster street hop hit, this one he titles ”Bashee” featuring labelmate PETRONIA

Brand new song Malaika "ZOGO"

"I hope uko Ok, mi naitwa Malaika ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania baada ya kimya cha muda mrefu leo nimezima ukimya huo kwa kuachia wimbo mpya unaitwa "Zogo" umetengenezwa katika Studio za Chaiderz Records chini ya mtayarishaji Abby Daddy, nimeachia pamoja na video iliyofanyika chini ya Director Hanscana"
Ni maneno yake Malaika fanya hima uskie wimbo huo kwani hakika amedhihirisha kuwa anavunja ukimya.

Sunday, November 8, 2015

Today Is My Day by Bac-t ft Pacson

Bac-t akiwa ame mshirikisha Pacson atambulisha nyimbo mpya iliyopo katika miondoko ya hip hop ambayo ime tengenezwa nchini Rwanda Kigali katika studio za Eagle Eyes Records na Producer B-Buster a.k.a DJB. Utamu zaidi wa wimbo huo lugha tatu zimehusika Kiswahili,Kingereza na Kinyarwanda na inagusa maadili ya watu wa Afrika MAshariki.