Thursday, July 25, 2013

Man Tuzo aachia ngoma mpya "Mwambie atulie"

Ngoma mpya ya Man tuzzo msanii toka Mtwara ambae ameamua kuleta mapinduzi kwenye muziki wa bongo fleva.

Man tuzo ni kijana mwenye uwezo mkubwa kwenye tasnia ya music wa kizazi kipya ambae kwa sasa makazi yake yapo Zanzibar kutokana na shughuli zake za kikazi, "Mwambie atulie" ndio ngoma yake mpya alioiachia hivi karibuni toka Island records Zanzibar, Laza'k na Labizo ndio producer walio simamia ngoma hiyo.

Kwa mawasiliano ya interview au show wasiliana nae kwa namba yake ya simu ya mkononi 0718387925 Au 0682457001.

Endelea kusapoti muziki wa Tanzania.
Bofya hapa kusikiliza na kudownload..

Song; Mwambie atulie Artst: Man Tuzzo Studio: Island Records Zanzibar Producer: Raza'k & Lab One

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments