Friday, August 30, 2013

Basi la Simba Mtoto lazima katikati ya daraja maeneo ya Kibamba na kusababisha foleni kubwa





Basi la abiria la kampuni ya Simba mtoto litokalio Dar es salaam kuelekea Tanga likiwa limepata hitilafu na kuzimika katikati ya daraja maeneo ya Kibamba na kusababisha msongamano mkubwa wa magari jana jioni.
Hali hiyo ilidumu kwa muda wa zaidi ya dk 20 mpaka basi hilo lilipowaka na kusogezwa pembeni.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments