Saturday, October 22, 2011

JAMANI MAISHA HAYA !!!!!....HILI NDIO JENGO LA STUDIO YA 6 RECORDS

Katika pita pita ya Leo kitaa nimelifumania jengo hili ambalo ndani ndio kuna studio bora ya mwaka ambayo ilijinyakulia tuzo ya Zanzibar Music Awards 2011. kilichinijia akilini ni kwamba ubora wa kazi si uzuri wa jengo naamini hata yule ambae amewahi kurekodi kazi yake analitambua hilo. Anaeonekana kwa mbali kama anaingia ndani hivi ni mmoja wa wasanii maarufu sana Znz Rico Single nae aliotewa pande hizo.
Studio ya 6 Rec ipo maeneo ya mwera lazima uvuke mto ukiwa umekunja suruali ama ubebwe kama we sharobaro upo? Nje ya studio hii kunalimwa mihogo,matembele,maboga na upupu pia nahisi utakuwepo.
Side 2 the Lee producer wa 6 rec

Friday, September 30, 2011

HALI YA MVUA JANA IMESABABISHA BAADHI YA MITAA KUJAA MAJI NA KUTOPITIKA

Wakazi wa mtaa wa migomba wakutwa na hali ngumu ya nyumba zao kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa muda kutwa nzima ambayo imepelekea kujaa maji kwa mtaa huo hali ambayo imepelekea wakati mgumu wa wakazi hao.
Hali ya maji ilivyojaa mtaa huo

Wednesday, September 28, 2011

HUU NI UZEMBE WA MADEREVA

Hii hali ya kupaki magari mabovu pembeni ya bara bara mpaka lini.
Uzembe wa madereva kupaki magari katikati ya barabara ni uzembe au ni style.

Friday, September 23, 2011

MADERVA KAMA HAWA ETI WAKIWA MBELE ZA WATU WANAJISIFU WANA LESENI

Lawama za kwanza ziwaendee wahusika wanao toa leseni kwa madereva na za pili kwa askari wa usalama barabarani za tatu kwa manispaa jiulizeni kwanini kwa kutazama hizo picha.

Tuesday, September 20, 2011

AYAAAAAAAAAAAA HIVI KWELI?????????

Inadaiwa kuwa huyu ndio mtu wa kwanza duniani kuwa na mdomo mkubwa upooooo!
Chezea domo hili mpaka kopo la soda linaingia wafanya masihara nini.....hili sasa ndio linastahili kuitwa domokaya uongo?

HAPPY BIRTHDAY AZRA

NG'OMBE AGONGWA NA KUPOTEZA FAHAMU KWA ZAIDI YA DAKIKA 30

Mara nyingi baraza la manispaa wanakataza uzurulaji wa mifugo ovyo lakini wafugaji hawakomi leo katika harakati za kuvuka barabara ndama huyu alijikuta akigongwa na pikipiki na kuzirai kwa zaidi ya nusu saa.
Ndama akiwa hana fahamu
Pikipiki iliyomgonga ndama huyo imechanguka show yote ya mbele

Sunday, September 18, 2011

YA LEO KALI .......PAKA AKUTWA ALA BISI


WATOTO WAFUNGIWA MABEMBEA MAPYA KATIKA KIWANJA CHA KUCHEZA WATOTO JAMHURI GARDEN

Wazazi kazi kwenu sasa kuwapeleka machalii Jamhuri Garden

Tuesday, September 13, 2011

HALI ILIVYOKUWA KATIKA HARAKATI ZA KUJIOKOA BAADA YA MELI YA MV SPICE KUZAMA

Kwa ushirikiano na ujasiri waliopewa na Mnyazi Mungu watu waliweza kujikusanya kwa pamoja kwenye mipira wakati wakisubiri kuja kuokolewa
Wengine walijisaidia kwa godoro pamoja jokofu

MAISHA YA KITAA

Maisha ya watoto wakati mwingine yanakuwa mabaya kutokana na hali ngumu ya maisha ya wazazi ukimtazama mtoto huyu hana budi afanyeje....

Urafiki mwema


Monday, September 12, 2011

BERY BLACK AFUMWA AKIGOMBANA KWA NJIA YA SIMU

Katika harakati za kuibia kusikiliza kile anachogombania maneno machache amesikika akihusisha madeni, hajasomeka vema kama ni yeye anaedaiwa au anadai coz kabla hajamaliza mazungumzo hayo aliingia kwenye gari huku akionekana amepaniki na hakujulikana ameelekea wapi.

HALI YA MAJI BADO NI TATIZO KWA WANANCHI

I wish one day achukuliwe waziri husuka aishi mtaani kwa muda wa wiki moja aone hali halisi ya wanachi wanavyoteseka kuhusu tatizo hili la maji.

Sunday, August 28, 2011

HOSPITALI YA ARAHMA YAVUTA LAINI MPYA YA MAJI

Kutokana na wakati mgumu unaowakuta wakazi wengi mjini Zanzibar wa shida ya maji imekuwa ni hata kwa baadhi ya hospitali ikiwemo hospitali ya Arahma ambayo hivi sasa imeamua kuvuta maji kutoka katika laini mpya huenda ikapunguza kero hiyo kwao

Friday, August 26, 2011

MADEREVA DALADALA ITHAMININI KAZI YENU

Hii ndio staili ya madereva daladala wengi wanapokuwa wanaendesha gari zao, ukifikiria vizuri unagundua kwamba hawaithamini kazi yao ikwa ndio inayowapatia kula Je kwa hali itampelekea abiria kuithamini kazi yenu nyie maderva? badilikeni basi au vipi.

MISHE MISHE ZA TOWN LEO

Siku kuu njema kameeee kawatu ndio basi tena kanaenda kushi tumboni mwa huyu mbabu
Sakata tumba... Eti utakuta huyu jioni yupo TILALILA kesho asubuhi hangover yakatwa na maji shaaa mzigoni anaanza moja
Na huyu ivo ivo

Saturday, August 20, 2011

BARA BARANI KITAANI




KAZI KWAKO...






Tuesday, August 9, 2011

UK KITAANI KIMENUKA

Maduka yakiteketea kwa moto
Mama amejitosa toka gorofani baada ya jengo hilo kushika moto
Toka Manchest sasa kinahamia kunuka London