Wednesday, September 24, 2014

Q Chilla ft MB Dog "Nimpende Nani"

Baada ya kimya kirefu Q Chillah amerudi kwa nguvu kubwa akiwa ndani ya Kampuni ya QS Mhonda J Entertainment, Apex Group Of Companies,Chini ya Meneja Eric Mbeyale wa Jijini Dar Es Salaam.Na single yake ya kwanza chini ya Uongozi mpya anaiachia inaitwa Nipende Nikupende ikiwa imeandaliwa na mtayarishaji C9, Bofya HAPA kuipakua.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments