Sunday, August 28, 2011

HOSPITALI YA ARAHMA YAVUTA LAINI MPYA YA MAJI

Kutokana na wakati mgumu unaowakuta wakazi wengi mjini Zanzibar wa shida ya maji imekuwa ni hata kwa baadhi ya hospitali ikiwemo hospitali ya Arahma ambayo hivi sasa imeamua kuvuta maji kutoka katika laini mpya huenda ikapunguza kero hiyo kwao

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments