Tuesday, May 20, 2014

Tetesi Dj,Dr B soon afungua Studio


Baada ya kupotea kwa muda mrefu kusikika katika Radio Dj Dr B aibuka na mpango wa kufungua Studio yake.
Tetesi hizo zimepatikana kwa rafiki zake wa karibu wakisema kwamba tayari wamepokea vifaa kamili vya studio kutoka kwa Dr B.
Dr B ambae kwa sasa yupo nchini Africa Kusini ambako amesaini mkataba wa mwaka mmoja na kampuni moja iliyopo nchini humo.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments