Friday, August 15, 2014

Nakaaya aingia katika KUFOKA sasa

Mdada anaitwa Nakaaya Sumari,kwa mara ya kwanza utamsikia aki-RAP Katika Mamong'oo remix ya Jambo Squad itakayopatikana rasmi Jumatatu Tarehe 18 Agosti HAPA https://mkito.com/artist-profile/jambo-squad/330 PEKEE... Ukihitaji wimbo usio na matangazo mwanzoni,bofya kitufe cha NUNUA badala ya BURE wakati wa kupakua,na upate wimbo halisi usio na matangazo

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments