Thursday, April 23, 2015

Bongoflava Anthem 2015

Ni kipindi kirefu toka ngoma moja ikatuunganisha watanzania wote kwa pamoja, mwaka jana kulikuwa na Mwana ya Ali Kiba, Mwaka wa nyuma yake Number One ya Diamond na Mwaka huu hii ngoma kutoka kwa msanii KICHE LEGEND anayekuja kwa kasi juu. wimbo unaitwa Angalia Juu, ni wimbo wa celebration, ni hustlers anthem, ni wimbo mzuri kwa ujumla

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments