Tuesday, November 10, 2015

Brand new song Malaika "ZOGO"

"I hope uko Ok, mi naitwa Malaika ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania baada ya kimya cha muda mrefu leo nimezima ukimya huo kwa kuachia wimbo mpya unaitwa "Zogo" umetengenezwa katika Studio za Chaiderz Records chini ya mtayarishaji Abby Daddy, nimeachia pamoja na video iliyofanyika chini ya Director Hanscana"
Ni maneno yake Malaika fanya hima uskie wimbo huo kwani hakika amedhihirisha kuwa anavunja ukimya.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments