Wednesday, November 25, 2015

Amini aachia ngoma mpya

Amini msanii ambaye anafanya vizuri katika anga ya muziki wa kizazi kipya ambaye pia anaongoza katika wasanii wanaofanya vizuri anaposhirikishwa na msanii mwingine ameachia ngoma yake mpya inayoitwa 'FURAHA'

Wimbo huo ambao umetayarishwa katika ubora wa hali ya juu umefanyika chini ya mtayarishaji C9 ameuachia rasmi katika raduio pamoja na mitandao ya kijamii.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments