Thursday, December 10, 2015

Best Nasso kuja na mkwaju mpya


Baada ya Kusemekana Best Nasso amekamatwa nchini Congo na madawa ya kulevya hatimae ameweka wazi wa mashabiki wake kua tuhuma hizo si za kweli na kutambulisha  wimbo wake mpya.

Wimbo huo ameupa jina la "RUMBA" na ameshafanya video yake amesema kuwa wimbo huo utaanza kupatikana kwenye mtandao wa Mkito.com kuanzia jumamosi tarehe 12 mwezi wa 12 ambayo ni siku yake ya Kuzaliwa.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments