Thursday, June 16, 2016

Chid Benz ang'ara

Miezi kadhaa iliyopita alikuwa ni gumzo kubwa kila kona baada ya afya yake kudhoofika kwa utumiaji wa madawa ya kulevya hadi kufikia hatua ya kupelekwa Sober house Bagamoyo na kuishi kwa siku kadhaa kwa lengo la kupata tiba ya kuacha kutumia madawa.
Chid Benz akiwa na muonekano mpya 

Juni 15, 2016 Chadi Benzi alipost picha kadhaa zinazomuonyesha akiwa katika muonekano mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutoka Sober house Bagamoyo.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments