Wednesday, September 1, 2010

Maeneo ya Soko kuu Zanzibar, maaraufu kama Darajani.

Si wachina tu kugonga ubwabwa kwa vijiti hata Zenji ipo staili hii.
Hata wanaume wanafanya shughuli ya kuosha vyombo.
Gari la punda likikatisha barabara.
Hiki ni kiwanja ambacho kinatumika kuchezea mpira pamoja na kusheherekea sikukuu mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments