Sunday, September 5, 2010

UNA BISHA?

Hili ni jambo ambalo mtu huwezi kuliamini mpaka utapoloishuhudia.
Tunafahamu mbwa hana kawaida ya kuingia baa lakini kwa kizazi cha now mbwa baa wataingia tu hali ndio inaanza, Jiulize mara ngapi umeshakaa baa pembeni akatokea nyau aka paka Je wakianza nao tabia hii Bia zetu zitapona kweli?

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments