Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara unaofanywa na kundi la Muamsho wakiwa wamenyoosha mikono kwa ishara ya kuukataa muungano baada ya kuulizwa swali "MNAUTAKA" wote kwa pamoja walijibu hawautaki.
Friday, April 27, 2012
Wednesday, April 11, 2012
REST IN PEACE STEVEN KANUMBA
Makamu wa Rais, Gharib Bilal kushoto na Waziri wa Habari na Utamaduni Emmanuel Nchimbi wakiwa msibani.
LEO KITAA inatoa pole kwa Familia ya Steven Kanumba, ndugu, jamaa, marafiki na Taifa kwa ujumla kwa msiba mzito tulioupata kwani tunaamini kwamba sote tupo katika njia moja Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi.
Monday, April 2, 2012
MTI JUU YA NYUMBA
Subscribe to:
Comments (Atom)



