Friday, April 27, 2012

MNAUTAKA AU HAMUUTAKI MUUNGANO?

Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara unaofanywa na kundi la Muamsho wakiwa wamenyoosha mikono kwa ishara ya kuukataa muungano baada ya kuulizwa swali "MNAUTAKA" wote kwa pamoja walijibu hawautaki.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments