Wednesday, April 11, 2012

REST IN PEACE STEVEN KANUMBA

Baadhi ya watu waliohudhuria mazishi
Makamu wa Rais, Gharib Bilal kushoto na Waziri wa Habari na Utamaduni Emmanuel Nchimbi wakiwa msibani.
LEO KITAA inatoa pole kwa Familia ya Steven Kanumba, ndugu, jamaa, marafiki na Taifa kwa ujumla kwa msiba mzito tulioupata kwani tunaamini kwamba sote tupo katika njia moja Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments