Friday, August 31, 2012

KUNGURU WAMEKUWA KERO KITUO CHA MABASI TANGA

Kila ifikapo majia ya jioni imekuwa ni kawaida kwa kunguru hawa kukusanyika kwenye miti iliyopo kwenye kituo cha mabasi ikiwa kama hifadhi yao kwa ajili ya kulala.

Hali hii ni yamuda mrefu ambayo imekuwa ni kero kwa wafanyabiashara na wasafiri wanaokuwepo eneo hilo kwa muda wa jioni.
Mara kwa mara kunguru hao wamekuwa wakiwanyea watu na kuwapigia kelele ikikapo mida ya jioni.

Mkurugenzi wa mji hili linakuhusu sana katika kutafuta namna ya kuweza kuhamisha makazi ya kunguru hao ili wananchi wako waweze kuwa na amani wakaapo katika eneo hilo.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments