Thursday, January 16, 2014

Richie 101 aanza mwaka 2014 na "Kaa Pembeni"


Nyota njema huonekana mapema kwa kuthibitisha hilo Richie101 ameachia ngoma yake mpya "KAA PEMBENI" ambayo amemshirikisha mkali Moplus pamoja na Kiranja.
Producer Moscow toka new way music, ndio amemfungulia Richie mwaka 2014
Vocals na mixing ya wimbo huo vimefanyika Noizmekah Studios, click HAPA kuisikiliza na download.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments