Saturday, January 4, 2014

Shoti ya umeme yazua balaa mjini Pemba


Taarifa iloyonifikia muda mfupi uliopita kwa njia ya whatsapp.
Shoti ya umeme imeathiri nyumba takribani 100 katika mji wa Pemba kijiji cha Shumba mjini kwa moto mkubwa unaoendelea kuwaka.
Na mpaka hivi sasa haujawezekana kuzimwa kwa kutopatikana zima moto.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments