Tuesday, October 14, 2014

Brand New Single "Mselaa' - HardcroniX ft Ordinally wa Jambo Squad

Niaje niaje good people?najua nimepotea kwa mda kidogo hapa,nilikua nakimbizana tu na kuweka mambo sawa kidogo, narudi kwa kuanzia na vijana wa Kijenge juu utengwani HardcroniX likiwa ni kundi linaloundwa na Black Spear ambaye kadondoka verse ya kwanza na K Doo ambaye kafunga kwa verse ya pili,,,hapa wakiwa na Ordinally wa Jambo Squad wanakwambia "Mselaa" wakiwa wanaelezea namna msela wa kweli anatakiwa kuwa..." Huo ni ujumbe niliopokea kupitia email ya Leo kitaa toka kwa John Blass(John B) mtayarishaji wa muziki Grandmaster Records.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments