Friday, March 13, 2015

RAMBI RAMBI ZA NGOMA AFRICA BAND KUFUATIA MSIBA WA JOHN KOMBA

NGOMA AFRICA BAND YAUNGANA NA WATANZANI KATIKA MAOMBOLEZO

YA MAREHEM JOHN KOMBA (RIP)

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya the Ngoma Africa band yenye maskani yake nchini Ujeumani inaungana na ,watanzania wote popote pale katika kipindi hiki cha msiba wa mwanamuziki marehemu John Komba (RIP) ,marehemu

alikuwa muasisi wa Kikundi cha muziki cha TOT,muhamasishaji,tutamkumbuka daima kwa mchanngo wake wa kuelemisha jamii kwa njia ya muziki.Ngoma Africa band inawapa pole ndugu na familia yote ya marehemu,pole na rambi rambi pia

ziwafikie TOT,Wapiga kura wa jimbo lake la Mbinga magharibi.Spika wa Bunge na bunge lote la Tanzania,marafiki,Uongozi na Chama Tawala CCM,wanamuziki na

watanzania wote, tupoe sote kwa msiba huu wa mwanamuziki Marehemu Kaptani

John Komba (RIP) mwenyezi mungu amlaze mahala pema.

Rambi rambi kutoka

Ngoma Africa Band

Oldenburg, Germany


The Ngoma Africa Band

www.ngoma-africa.com

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments