Saturday, August 13, 2016

KADA WA CCM BW. RAMADHAN RUNZA KATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM WILAYA


 Aaliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernad Membe akiwa na kada wa CCM Bw. Ramadhani Runza wakati wa mkutano mkuu maalum wa CCM mjini Dodoma.


KAMA ULIPITWA NA HII: KATIBU WA KITUO CHA MSAADA WA SHERIA - TANGA BW. AMADHAN RUNZA KATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UENYEKITI UVCCM WILAYA
Katibu wa kituo cha msaada wa Sheria Tanga, Bw. Ramadha Runza akichangia mada wakati wa warsha ya kimataifa iliyofanyika katika hoteli ya Landmark jijini Dar es Salaam.
Katibu wa kituo cha msaada wa Sheria Tanga, Bw. Ramadha Runza kushoto akiwa na mtendaji mkuu wa TLS Bw. Kaleb Gamaya .

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments