Monday, September 12, 2011

BERY BLACK AFUMWA AKIGOMBANA KWA NJIA YA SIMU

Katika harakati za kuibia kusikiliza kile anachogombania maneno machache amesikika akihusisha madeni, hajasomeka vema kama ni yeye anaedaiwa au anadai coz kabla hajamaliza mazungumzo hayo aliingia kwenye gari huku akionekana amepaniki na hakujulikana ameelekea wapi.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments