Tuesday, September 20, 2011

AYAAAAAAAAAAAA HIVI KWELI?????????

Inadaiwa kuwa huyu ndio mtu wa kwanza duniani kuwa na mdomo mkubwa upooooo!
Chezea domo hili mpaka kopo la soda linaingia wafanya masihara nini.....hili sasa ndio linastahili kuitwa domokaya uongo?

1 comment:

  1. Da mwana hilo domo ni nomaaaaaaaaaaaaa huyo kweli anaweza kuiba kitu na akaficha kwenye domo lake.

    ReplyDelete

Toa maoni yako/ Leave your comments