Friday, September 30, 2011

HALI YA MVUA JANA IMESABABISHA BAADHI YA MITAA KUJAA MAJI NA KUTOPITIKA

Wakazi wa mtaa wa migomba wakutwa na hali ngumu ya nyumba zao kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana kwa muda kutwa nzima ambayo imepelekea kujaa maji kwa mtaa huo hali ambayo imepelekea wakati mgumu wa wakazi hao.
Hali ya maji ilivyojaa mtaa huo

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments