Wednesday, January 12, 2011

Bado niliendelea kushangazwa na hii staili ya nyumba za mitaani. Nyumba zote madirisha yake yamezibwa nusu nikaendelea kuchochora.

Uchochoro......
Uzalendo ulinishinda nikaweka kambi kwa wadau ambao ndio wenyeji wangu wa mtaa huo na kuanza kuwadodosa sababu za nyumba zao kuziba nusu madirisha.... mwenzangu sababu kubwa niliyopewa eti 'CHABO' tena sio za watoto za watu wazimaaa..


Umeona mambo hayo!!!

Kisa nini CHABO

Haya nayo ndio hivyo tena ukianza kujenga uswazi usiombe uishie njiani.. kitachokutokea ndio kama hivi.



Mara nyingi huwa tunaona shoti za umeme zinatokea bila ya kujua sababu, kumbe hawa ndege wanojenga kwehye nyaya za umeme huennda ikawa sababu ya shoti hizo haya wahusika kazi kwenu huku mitaani mambo ndio kama hivi nguzo za umeme zimekuwa nyumba za ndege.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments