Wednesday, January 12, 2011

MAGOMENI AKA MIGO MIGO YA ZENJI

HAPA PANAITWA MAGOMENI SOKO LA SAMAKI
Tindi ndi ndi ndiiiiiii.......Picha linaanza
Hili ndio soko la samaki la magomeni
Kina mama wakiweka vizuri mizigo yao ya kuni za magamba ya mnazi tayari kwa kujitwika
Haya ni mambo ya kawaida uswazi
Kitu chauliza
Wakati mwingine unawza kusema kwa mtanzania kuishi maisha haya ni kawaida lakini kwa upande mwingine Serikali haina buni kuwageukia watu kama hawa na kuwapatia msaada

Is this life????

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments