Saturday, January 8, 2011

LEO KITAA ILPOIBUKA MAENEO YA DUNGA

Hapa ni eneo la kituo cha polisi Dunga kibao kidogo kinaeleza gari zote za abiria lazima zisimame eneo hilo kwa ajili ya kukaguliwa. Kitu kilichonivutia kupiga picha hii ni hiyo yebo yebo inayoonekana kwa juu ya kibao mwenzanguuu wee,,,,,, Kilometa 19 na tisa tu kutoka dunga kituo cha polisi kuelekea Kinyasin na kilimeta 14kuelekea Chwaka kama kibao kinavyoonyesha upooo..
Hivi Madaraja ya kupita gari moja na jinine lisubiri yataisha lini?????
Hili ni moja ya daraja la kupita gari moja mwingine subiri kwanza ambalo utapambana nalo ukiwa unaelekea Dunga.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments