Tuesday, March 18, 2014

Happy Birthday Msechu


Msanii wa bongo fleva Peter Msechu leo ana celebrate siku ya kuzaliwa kwake na huu ni ujumbe aliotuma kupitia whatsapp:
"Hi.. Namshukuru Mungu leo ni siku yangu ya kuzaliwa ni wengi wanatamani kuona siku kama hizi ila huwa ni kwa huruma zake MUNGU kutuweka hai sio kwamba tunastahili sana kuliko waliokwisha tangulia.. UNGANA NAMI KATIKA KUFURAHIA SIKU HII MUHIMU KWA KILA ALIYEUMBWA...hakuna party 🙈🙈🙈🙈 ila zawadi na cake muhimu"
Happy birthday PETER MSECHU

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments