Saturday, March 15, 2014

MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa,
Bi.Jesca Msavatavangu akizungumza na
wanahabari jioni ya leo mara baada ya
tukio hilo la kukamatwa kwa Mbunge wa
CHADEMA akigawa fedha kwa wanakijiji
siku moja kabla ya uchaguzi kufanyika.
Uchaguzi wa Jimbo hilo unatarajiwa
kufanyika kesho siku ya jumapili,
ambapo wananchi wameombwa
kujitokeza kwa wingi kupiga kura.
Endelea hapa michuzi blog

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments