Thursday, October 8, 2015

NEW HIT TRACK: KINGKAPITA FT. CANNIBAL - VIZABIZABINA


Baada ya kimya cha muda mrefu msanii King Kapita ambaye kwa mara ya mwisho ulimsikia katika wimbo wake wa "Kuna tatizo kwani?" ambao amemshirikisha Godizilla, amerudi nchini kutoka Africa ya Kusini ambako alikuwapo kimasomo.

Msanii huyo anaefanya muziki ni ujasilia mali amerudi kwa kasi mpya na kufanya ngoma ya VIZABIZABINA aliyomshirikisha Cannibal Shatta kutoka nchini Kenya iliyotengezwa na John B pamoja na Kanyeria. 
Baadhi ya nyimbo ambazo jamaa amewahi kufanya pia ni Shikamoo pesa, Mtoto mlito na Here we go alipokuwa ndani ya kundi la Wakacha kabla ya kuwa msanii wa kujitegemea.


No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments