Monday, October 12, 2015

Wanaboa - Samata



Msanii wa kizazi kipya Samata ambae pia ni mhandisi,mbali na kazi yake ya uhandisi anapenda sana muziki hali inayompelekea kutenga muda wake vizuri kwa ajili ya muziki.
"Wanaboa" ni wimbo wake ambao amehusisha hali ya maisha halisi ya  kila siku hasa uswahilini ambapo kuna tabia tofautitofauti za watu na tabia nyingi ni za ajabuajabu.

Bofya hapa upate kuicheki nyimbo hii WANABOA YOUTUBE LINK

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments