Monday, October 5, 2015

UTAMBULISHO WA NYIMBO YA 'SITAKI SHARI', RIZ CONC FEAT. SIR ZULU


Riz Conc anatambulisha nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la 'SITAKI SHARI', ambayo amemshirikisha rappa Sir Zulu. Itasikika katika Radio mbali mbali za Bongo na nje ya nchi kuanzia tarehe 05/10/2015. Nyimbo ya 'Sitaki Shari' imefanywa na producer ALONAME na kusimamiwa na Sudy Baya_KingMaarifa chini ya uongozi wa Pesasina Co. LTD.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments