Monday, September 16, 2013

Tamasha kubwa



Katika Tamasha hilo Wamealikwa Wasanii mbali mbali wa muziki wa Bolingo, Kizazi Kipya, Taarabu, Maigizo, Ngonjera na Mashaili, kutoka kwa wanafunzi mbalimbali hapa Nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam,University of Dar es Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tanzania International Univarsity(TIU) chenye makao yake makuu nchini Marekani

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments