Saturday, September 7, 2013

Washindi wa Punch kwa Mtaa "PapaaDolaa & Chedu2R"


PapaaDolaa & Chedu2R na ngoma "Michano" ikiwa ni Nafasi waliojishindia katika Msimu wa kwanza katika shindano la PUNCH KWA MTAA, inayoendeshwa na DJ Mwaka ndani ya MJ FM Radio,hawa ni wawili kati ya washindi wanane jumla katika Round ya kwanza zawadi kuu ikiwa ni Kurekodi nyimbo katika Studio ya Noizmekah. Pata kudownload HAPAna kwa mawasiliano zaidi check na Papaa Dolaa kupitia +255 753 470 004 www.vmgafrica.com -PapaaDolaa & Chedu2R-Michano

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments