Friday, June 28, 2013

Hili ndio duka lenye pamba za kijanja mjini Tanga, lipo barabara ya 13 karibu na jengo la maabara.

Msimu wa sikuku umefika sasa wajanja wote mnaohitaji kupendeza kwa mitoko ya kisasa, tembelea duka hili lililopo barabara ya 13 mjini Tanga.

Nguo za aina mbalimbali kwa kinadada na kibakaka zinapatikana, viatu, nguo za watoto, madera, top, skin, tait, sketi usiulize utapendezaje nenda ujionee mwenyewe.

Kwa urahisi wa kufika dukani hapo fuata maelekezo haya
Ukitokea Taifa road mtaa wa 13 maarufu mtaa wa maduka ya wachaga unaenda mpaka barabara ya sokoni ngamiani kushoto utaona jengo limeandikwa maabara, utanyoosha kama unaelekea kituo cha daladala za donge upande wa kulia kwako utaona maduka ya simu fuata laini hiyo mpaka utapoona duka la dawa za asili duka linalofuata hapo utakuwa umefika.
Kwa mawasiliano piga 0713 700 951 au 0767 600 951
Nyote mnakaribishwa.

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments