Thursday, June 27, 2013

Madampo ya Soko la Ngamiani.

Manispaa ya jiji la Tanga wana jitihada kubwa za kuhakikisha mji unakuwa safi kwa kuweka vyombo maalum vya kuhifadhia matakaka.

Hapo unavyoona ni asubuhi ya leo wahusika wakiwa wapo kwenye harakati za kuzoa taka hizo maeneo ya soko la Ngamiani.

Pamoja na jitihada zinazoendelea kuchuliwa na Manispaa ni vema kuhakikisha vifaa hivyo vya kuhifadhia taka mitaani havijai kuputiliza ili kuepuka taka hizo kuendelea kuwa ni uchafuzi wa mazingira na hali ya hewa ya maeneo hayo.

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments