Wednesday, June 12, 2013

KERO KWA MADEREVA TANGA

Tangu msimu wa mvua uanze mpaka umeisha
mfreji huu uliopo barabara ya jamaa umekuwa
ni kero kwa waendesha baskeli, pikipiki na
magari kutokana na kuongezeka kwake kila
kukicha.
Pamoja na kuwa kero kwa madereva pia
umekuwa ukihatarisha maisha ya watembea
kwa miguu kutokana na vyombo vya usafiri
kupita pembeni sana kwa ajili ya kukwepa
mfereji huo.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments