Friday, June 28, 2013

Mwizi wa Baiskeli achezea kichapo asubuhi hii

Umati wa watu wakiwa wamemzonga mwizi aliyekuwa akichezea kichapo kwa kuiba baiskeli, picha halisi ya mwizi huyo sikuweza kuipata kutokana na umati wa watu kuwa mkubwa.

Published with Blogger-droid v2.0.10

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako/ Leave your comments